ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Pamoja sana mkuu !Kuna mkuu anaitwa ChickMagnet amenisaidia kuona mechi na kushuhudia mnyama mkali Simba akitafuna kichea na Maharamia wa Orlando. Mkuu Mungu akubariki sana. Nilikuw sina namna na kuona hii game.
Nashukuru nimeiona na maharamia tumewatafuna.
Nyinyi akina nani ?Sisi tunabeza ushindi mlioupata Leo hatuoni mkitoboa kwa game ya ugenini mnafikiri kwanini tuna wasiwasi na game zenu za ugenini ni kwa kuwa game za ugenini huwa mnaruhusu magoli mengi mkijirekebisha sawa tu hakuna shida
Hivi hawakuifunga somalia juzi!?Hivi mara ya mwisho Utopolo kuifunga timu ya nje ni lini ?
Na ilikuwa timu gani ?
Na kwanye mashindano gani ?
Goli la ushindi aliyefunga nani ?
NB
Hivi Utopolo ipo nafasi ya ngapi kwa ubora Africa ?
Huwa unaangalia hata mpira wa ulaya!?Video Assistance Referee. Mara nyingi wale wanao kua studio wanamletea picha za video refa kwenye television pekee iliyopo uwanjani Ili ajiridhishe na sisi watazamaji tunaletewa picha za video Ili kuondoa utata na chupri.
Sasa kama VAR ya Afrika Ipo Kwa mtindo nilio uona Leo basi CAF Wana kazi kubwa ya kufanya.
Haijalishi tukio la Morrison kama ni penalty alali au sio halali ila namna VAR ilivyo tumika sioni na tofauti refa kumuuliza msaidizi wake.
Ayaaaaa kwamba anatoa jicho la tatu?
Ayaaaaa kwamba anatoa jicho la tatu?
Sidhani kama Ukimuuliza ni mechi gani waliwahi kushinda ugenini atakupa jibu.Nyinyi akina nani ?
Mjitambulishe tuwape mpira mkadhinde huko ugenini
Kwa kumbukumbu zangu mimi ni kama Yanga iliwahi tolewa kwa matuta na Al Ahly ya misri baada ya game kuisha sare ya moja moja huko Misri.Sidhani kama Ukimuuliza ni mechi gani waliwahi kushinda ugenini atakupa jibu.
Na akikupa jibu ni zile timu za shelisheli , somalia , Hertrea na Djibouti.Tofauti na hapo hana lolote la kukwambia
Tutaliona hilo 'Mbungi la maana' hiyo Jumapili.Ujue Kbs Hii ni Simba .... ! Ukiandika Kuihusu TUMIA herufi Kubwa.
Goli Moja Sio Dogo ...HII ni ROBO FAINALI Ya CAF Baba .....!
Nakukumbusha tu , Hii sio Hatua ya Awali..! Hii ROBO FAINALI. Zimebakia timu 8, akivuka tu Nusu Fainali hii hapa..!
.....Sijui UMENIFAHAMU hapo? (Pemba kwetu tuna Ulizana Hivyo) !
Hakuna Cha Kitete Wala Kitoto ' Mbungi La Maana Litapigwa...Atayestahili atapita!!
Wewe Acha Uchizi..Iombee Simba Ipite..!
Hivi mkuu, kujadiliana bila kuweka matusi kwenu huwa ni mwiko? Toa tu hoja inaeleweka.Mabwege nazi walisema kwa Mkapa Simba atafungwa,wale Orando tema mate chini wanashambulia juu na chini.
Baada ya mechi kuisha Simba kumla kichwa Orando wamebadili kauli,wanasema',, ngoja Simba wakienda South wataoga mvua ya magoli"
sasa nyinyi mabwege nazi niwaulize jambo,hivi Orando wangekua wanauwezo si wangepata hata goli moja kwa Mkapa?
Mkuu, tusifike kwenye kauli hizi.Njoo Unibong'olee Uone Kama Sijaingiza Yote...Yani Nitakukandaa Sichekagi Na Musenge Kwenye Izo Kazi [emoji41]
Sawa Mkuu Nimekuelewa Haitojirudia Tena.Mkuu, tusifike kwenye kauli hizi.
🤣🤣 Haya bana Mtani.🤣🤣🤣🤣
Mtani leo niliamua kusoma comments zenu tu kisha nikasubiri dakika 90.
Ni kipigo tu hukoSimba tujifunze kwa yale ya Kaizer Chiefs. Tukienda bondeni tuende kwa heshima. Na tucheze kwa adabu kama tulivyocheza leo.
Nguvu Moja. Mnyama mkali mbugani.
Unasemaje mkuu!?Ambao hawaamini macho yao ni wale waliozoea kushinda goli 2+ kwa mkapa kwenye mechi za mtoano lakini leo hii wameambulia goli moja tu. Nikifikia historia zenu za away. Aisee Mungu awaepushie na kikombe maana mlishinda goli tatu dhidi ya red arrow kilichotokea kule kila shabiki alishika shavu kujiuliza ni hii timu yetu iliyoshinda tatu kule dasalama
Na ambaye hataenda south africHii mechi imeonyesha forward ya simba ubunifu mdogo sana...
Heko tu kwa Morrison
Baki na kuuliza maswali yasiyo na tija badala yakukesha ukiomba angalau ufungwe goli 2Hivi mara ya mwisho Utopolo kuifunga timu ya nje ni lini ?
Na ilikuwa timu gani ?
Na kwanye mashindano gani ?
Goli la ushindi aliyefunga nani ?
NB
Hivi Utopolo ipo nafasi ya ngapi kwa ubora Africa ?
ya Rivers 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23]hata ya Galaxy?