FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

Sisi tunabeza ushindi mlioupata Leo hatuoni mkitoboa kwa game ya ugenini mnafikiri kwanini tuna wasiwasi na game zenu za ugenini ni kwa kuwa game za ugenini huwa mnaruhusu magoli mengi mkijirekebisha sawa tu hakuna shida
Nyinyi akina nani ?
Mjitambulishe tuwape mpira mkadhinde huko ugenini
 
Hivi mara ya mwisho Utopolo kuifunga timu ya nje ni lini ?

Na ilikuwa timu gani ?

Na kwanye mashindano gani ?

Goli la ushindi aliyefunga nani ?

NB
Hivi Utopolo ipo nafasi ya ngapi kwa ubora Africa ?
Hivi hawakuifunga somalia juzi!?
Au somalia sio timu ya nje!?
Kwenye mashindano ya kimataifa, club bingwa ya dunia kwa nchi zenye vita
Goli la ushindi alishinda Mrisho khalfani ngasa.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matopolo yamenuuuna


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Video Assistance Referee. Mara nyingi wale wanao kua studio wanamletea picha za video refa kwenye television pekee iliyopo uwanjani Ili ajiridhishe na sisi watazamaji tunaletewa picha za video Ili kuondoa utata na chupri.

Sasa kama VAR ya Afrika Ipo Kwa mtindo nilio uona Leo basi CAF Wana kazi kubwa ya kufanya.
Haijalishi tukio la Morrison kama ni penalty alali au sio halali ila namna VAR ilivyo tumika sioni na tofauti refa kumuuliza msaidizi wake.
Huwa unaangalia hata mpira wa ulaya!?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi akina nani ?
Mjitambulishe tuwape mpira mkadhinde huko ugenini
Sidhani kama Ukimuuliza ni mechi gani waliwahi kushinda ugenini atakupa jibu.
Na akikupa jibu ni zile timu za shelisheli , somalia , Hertrea na Djibouti.Tofauti na hapo hana lolote la kukwambia
 
Sidhani kama Ukimuuliza ni mechi gani waliwahi kushinda ugenini atakupa jibu.
Na akikupa jibu ni zile timu za shelisheli , somalia , Hertrea na Djibouti.Tofauti na hapo hana lolote la kukwambia
Kwa kumbukumbu zangu mimi ni kama Yanga iliwahi tolewa kwa matuta na Al Ahly ya misri baada ya game kuisha sare ya moja moja huko Misri.
 
Ujue Kbs Hii ni Simba .... ! Ukiandika Kuihusu TUMIA herufi Kubwa.

Goli Moja Sio Dogo ...HII ni ROBO FAINALI Ya CAF Baba .....!
Nakukumbusha tu , Hii sio Hatua ya Awali..! Hii ROBO FAINALI. Zimebakia timu 8, akivuka tu Nusu Fainali hii hapa..!
.....Sijui UMENIFAHAMU hapo? (Pemba kwetu tuna Ulizana Hivyo) !
Hakuna Cha Kitete Wala Kitoto ' Mbungi La Maana Litapigwa...Atayestahili atapita!!
Wewe Acha Uchizi..Iombee Simba Ipite..!
Tutaliona hilo 'Mbungi la maana' hiyo Jumapili.
 
Mabwege nazi walisema kwa Mkapa Simba atafungwa,wale Orando tema mate chini wanashambulia juu na chini.

Baada ya mechi kuisha Simba kumla kichwa Orando wamebadili kauli,wanasema',, ngoja Simba wakienda South wataoga mvua ya magoli"

sasa nyinyi mabwege nazi niwaulize jambo,hivi Orando wangekua wanauwezo si wangepata hata goli moja kwa Mkapa?
Hivi mkuu, kujadiliana bila kuweka matusi kwenu huwa ni mwiko? Toa tu hoja inaeleweka.
 
Hii ni hatua ngumu sana. Game za champions lg hakuna timu iliyonufaika na tofauti ya goli mbili.

Ni mwendo droo,ama 2 kwa 1.

Hata hizi game za confederation sion timu kushinda 3 bila.

Hizi mechi ni ngumu hata CAF wanazitolea macho sana myu asiionewe kiboya.
 
Ambao hawaamini macho yao ni wale waliozoea kushinda goli 2+ kwa mkapa kwenye mechi za mtoano lakini leo hii wameambulia goli moja tu. Nikifikia historia zenu za away. Aisee Mungu awaepushie na kikombe maana mlishinda goli tatu dhidi ya red arrow kilichotokea kule kila shabiki alishika shavu kujiuliza ni hii timu yetu iliyoshinda tatu kule dasalama
Unasemaje mkuu!?
 
Hivi mara ya mwisho Utopolo kuifunga timu ya nje ni lini ?

Na ilikuwa timu gani ?

Na kwanye mashindano gani ?

Goli la ushindi aliyefunga nani ?

NB
Hivi Utopolo ipo nafasi ya ngapi kwa ubora Africa ?
Baki na kuuliza maswali yasiyo na tija badala yakukesha ukiomba angalau ufungwe goli 2
 
Back
Top Bottom