FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

Mh kwa kikosi hiki?πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” Ah ok poa Mimi Simba nitabaki kuwa Simba nasimama na chama langu nguvu 1
kipindi Cha kwanza kitaenda 1-1 kipindi Cha pili Hawa tuliowasaidia kuwapa uhuru watatusamehe tu 5-1 man of the match atakuwa kagere akitokea benchi MUNGU ibariki Simba...
 
Simba mwendo wetu umeishia hapa tugange msimu ujao ambao yanga ndio wataenda
 
Hapa bila shaka umeweka ela kwa Simba kupata ushindi. Hapo upati presha, wakishinda unachukua mpunga kwa mhindi na wakishindwa kushinda unabaki na amani ya moyo kwa kuwazodoa
Huwa sibet ndugu
 
Hivi kwanini huwa tunakidharau sana kikosi cha Simba? Na huwa ni kikosi hikihiki kinachowabutua kila anayejileta kwa Mkapa. Hata wao wapinzani wanawahofia ila sisi kwakuwa tunawaona kila mara kwenye ligi yetu always tunawadharau. Naamini ushindi upo
 
Umeshindwa kuwaambia wenye stars times pia kama wanapenda kuangalizia mechi majuumbani wasipate tabu kwenda vibandani mechi wanarusha pia.
Kwa matangazo ya tv
Azam
Dstv
Startimes

Kwa wale wa kustream hesgoal.tv
Naomba hiyo link ya hesgoal mkuu
 
Kama tulivyo kubaliana kwamba Kwa Mkapa hatoki mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…