Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
😂😂😂Cha moto mmekiona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Si kwa aibu ya jana[emoji2088][emoji2088]
Si kwa zile 3 kichwa, nilinuna jamani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Cha moto mmekiona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Si kwa aibu ya jana[emoji2088][emoji2088]
UmriKapombe nimzuri tatizo Amekuwa na Siku Mbaya hivi Karibuni
Wewe mchawiSimba 2 Asec Memose cheyo 0. Goli la kwanza kupatikana kipindi Cha kwanza baada ya dakika 39 na goli la pili kupatikana kipindi Cha pili kabla ya dakika 30
Hii Hali siyo nzuri kabisa.Kama ni simba bhasi utajua kwanini wanacheza hivyo...
Na kingine simba leo atafunga ila kuna mgogoro ndani ya Timu
Taarifa za kocha mpya hujasikia?Tunafunga lakini hatuna furaha pira papatu papatu halitotupeleka kokote daah.
Chama kwenye hii mechi hatakiwi kabisapale mbele bado kuna pengo la kutengeneza nafasi pengo la kazi anayoifanyaga chama inaonekana
Uyo jamaa inabid mpige na kofi kabsa mwanda anajua sanaKuna jamaa nimemwambia Mwenda yuko vizuri kuliko kapombe kwa sasa akabisha
Unaufahamu umri wa kapombe lakini?Kapombe nimzuri tatizo Amekuwa na Siku Mbaya hivi Karibuni
Wananchi na nchi ilizizima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si kwa zile 3 kichwa, nilinuna jamani..
[emoji1787][emoji1787]Uyo jamaa inabid mpige na kofi kabsa mwanda anajua sana
Amna age inamuhukum kapombeKapombe nimzuri tatizo Amekuwa na Siku Mbaya hivi Karibuni
Haha ila wangecheza na kibonde wa Ihefu Fc mngsema wako vizuriNao wabovu tu
Ni kweli jukumu la kwanza ni kusapoti timu ila na wenyewe wakiona mambo yasiyoridhisha yanafanyika na kuendekezwa huku malalamiko yao yanadharaulika, matokeo yake ndiyo haya sasa.Watanzania sisi ni janja janja mashabiki jukumu la kwanza ni kusapoti timu, hao viongozi walioruhusu fungulia mbwa nao wanazingua maana watu wanakua wanazoea kwamba mchawi kufika taifa.
Jana kuna mdau aliweka uzi kua mashabiki wa bongo sisi tunasaka matokeo , alikua sahihi
Acha kukariri. Ninyi ndio mnaorudisha Simba nyuma na chamaism yenu. Timu imecheza vzr na pasi za magoli zimetengenezwa za kutosha. Kwani Simba huwa haifungwi akicheza huyo Chama wako?pale mbele bado kuna pengo la kutengeneza nafasi pengo la kazi anayoifanyaga chama inaonekana
UnatusemeaMbona amn furaha
Israel Mwenda...Mwendawazimu?????🚴🚴ðŸ¤
Ila ww Mwanamke si nimekuambia kama nataka nikusweke.....Tofautisha mechi baina yetu na sisi baina yao.