Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Tangu mwanzo timu haina morali.walivyoenda mapumziko wamewapa nini hawa Simba huko wanapobadilisha nguo
Acha hizo mkuu🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤣🤣
Simba pumzi imekata...walivyoenda mapumziko wamewapa nini hawa Simba huko wanapobadilisha nguo
Ha ha haNa tunaweza kufungwa pia sio sare tu
asec sio wabovuSimba ni mbovu, asec ni mbovu ila ni bora kwa simba aisee. Simba wamechoka vibaya yani wanazungushwa wanapitika vibaya
🕺🕺🕺🕺🕺🕺 Asec 🕺🕺🕺🕺🤸Acha hizo mkuu