FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

Simba wachezaji wengi ni wazuri, tatizo limekuwa la walimu. Kwa mfano leo, hakukuwa na muunganiko wa timu!! Hii imemfanya Inonga asipande kabisa kusaidia mashambulizi. Kilichokuwa kinatakiwa leo ni kutopoteza mchezo, tuki-buy time kabla kocha hajaanza mpya hajaanza kuisuka timu!! Mambo mazuri yanakuja!!
Ww bhana huna wachezaji
Bocco
Saido
Kapombe
Kipa Ayoub
Yule kanoute mcheza faulo
Baleke sijui na kibu
Halafu linganisha enzi za akina DEO Kanda, Kahata,wawa ,Kagere , Miqueson na Chama wakiwa kwenye peak
Halafu toa jibu kama mtu wa Mpira
Huyo kocha mpya Bila ya kusajili hamuendi popote, na ubaya Zaidi dirisha kubwa mpaka msimu uishe
Kwa hiyo kwenye karatasi tayari mshapoteana ,tungoje miujiza labda
 
Mashabiki wa SImba sc wanaaandamana hapa leo kazi ipo wanaimba hawamtaki mangungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Simba wachezaji wengi ni wazuri, tatizo limekuwa la walimu. Kwa mfano leo, hakukuwa na muunganiko wa timu!! Hii imemfanya Inonga asipande kabisa kusaidia mashambulizi. Kilichokuwa kinatakiwa leo ni kutopoteza mchezo, tuki-buy time kabla kocha hajaanza mpya hajaanza kuisuka timu!! Mambo mazuri yanakuja!!
Huyu kocha wenu mpya, sijui benchi kaa, sijui balance china, hatakuwa na maisha pale simba, atatupiwa virago pindi simba atakapopigwa wiki na Wydad AC
 
Nje ya mada kidogo. Hivi hapa Air Manula alikuwa ana mshauri nini mwenzie🤣🤣
 
Back
Top Bottom