Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hadi Asec naye wa kiwanago,View attachment 2824942muulize kwa nini kashona kitambaa mechi tatu afu bado anapiga kelele
Hussein:"***** Manula,ndo unadakaje penati vile..."Nje ya mada kidogo. Hivi hapa Air Manula alikuwa ana mshauri nini mwenzie🤣🤣
View attachment 2824963
Pamoja na hayo tuache kuwa mashabiki wa mafanikio tu, timu ikipata changamoto kidogo tunakata tamaa mno. Tukumbuke huwa kuna kipindi cha mpito baada ya mafanikio. Yaelekea tumeshasahau furaha tuliyoenjoy kwa miaka minne au mitano mfululizo. Mashabiki wa kweli husimama na timu muda wote, angalia Manchester, Liverpool na Chelsea. Ona sasa Mashabiki maandazi wanahamasishana kutokwenda uwanjani, hii si sawa.Pale kati Simba kwa sasa kuna tatizo bila kujali ni la nani. kiungo mkabaji na kiungo mshambuliaji ni kama hawapo.
Hii ndo inasababisha mabeki wawe na kazi ya ziada kumlinda kipa na wakichoka ndo hivyo tunafungwa na huko mbele kina baleke na phiri wasionekane. Shida ni katikati hakuna ubora.
Ndo maana nikasema kwa Yanga niliyoitazama jana tusije tukakutana nao halafu tukacheza kwa kiwango hichi, tutanyanyasika mno.
Tusidanganyike na Yanga kufungwa na Waarabu, huenda wakafungwa tena ila Waarabu walicheza kwa nidhamu sana dhidi ya Yanga, nidhamu ambayo haipo Simba kwa sasa esp katikati.
Changamoto katika timu ni suala la kawaida wewe shabiki wa juzijuzi. Timu haiwezi kuwa kwenye peak muda wote. Kuweni wavumilivu, timu itainuka tena. Manchester, Liverpool, Chelsea zote zimepitia changamoto, lakini mashabiki wamebaki na timu zao.Pira Papatu Papatu kazini wanasimba sijui tunaelekea wapi
Alikuwa anamshauri lkn inaingia huku inatokea huku ati hakikisha unavunja mguu mudathiri ndio mwenye hirizi!.. jamaa akaona na mpira mzito akaamua autupe..🤣Nje ya mada kidogo. Hivi hapa Air Manula alikuwa ana mshauri nini mwenzie🤣🤣
View attachment 2824963
AahaaaaaaWote wamekula tano tano
Harusi ya kuingia Robo final tunayoo, lazima tugawe sare my [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Simba wameolewa?Jana mlipigwa miti mkakaa kimya leo mnajichekesha ktk Mechi ya Wanaume walio kwenye Ndoa.
Tuchekee hapa hapa au tukachekee chooni 🤣🤣Njoo tucheke hapa my wangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣 Evelyn Salt
Hata Rugby ina nafuu ndugu yangu. Kazi tunayo 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Pira Papatu Papatu kazini wanasimba sijui tunaelekea wapi
Madawa yote yalifukuliwaKuna mtu alisema baada ya marekebisho ya uwanja wa mkapa inaweza kua kilio kwa Simba. Alimaanisha nini sijui...
Na hapo ndipo tofauti kati ya mashabiki wa Simba na YangaMashabiki wa kweli husimama na timu muda wote, angalia Manchester, Liverpool na Chelsea. Ona sasa Mashabiki maandazi wanahamasishana kutokwenda uwanjani, hii si sawa.
AaaaahaaaaaSiji tena uwanjani
Kwani hujaona
Aahaaaaaa
Nilikuona pale taifa........😀😀.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan inachekesha na kuhuzunisha pa1