Tunaangali ya leo,nani ajuaye ya jmosi?Jipe moyo jumamosi utazimia nakwambia
Acha kushabikia timu Zina manyoya manyoya na mikiaBalaaa rafiki
Wachawi tuwe sisi[emoji1][emoji1]Kaa utulie, huwa mnakuja kwa makelele baadae mnapotea kimya kimya[emoji1787][emoji1787] uto mna tabia za kichawi chawi🫣🫣
Huwezi kuniachanisha na Simba yanguAcha kushabikia timu Zina manyoya manyoya na mikia
Mzuka wa Kocha wao ndiyo kivutio 😀Mikia umetepeta sana
Guvu moya 😀Huwezi kuniachanisha na Simba yangu
Anatangaza biashara yake tu huyo mpuuzen
Ila sio sekunde dahIla na nyie si mlipigwa dkk below 20??? Tena mbili
am 4 real matumbo joto🤓🤓
Kigoli cha kichawi hikoIla sio sekunde dah