Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Halafu ndio mnataka kuwafunga vipers nje ndani? Aliyewaroga kafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upe muda wakatiKwa hiyo mnataka kusema hapo mlipo mnakomaa tu ligi iishe
Wanga nyieKwani Ntibanzonkiza mmempiga misumari?
Dawa ya hizi kelele goli lirudi tu..mtapotea ghafla kama mbu wakiona mwangaNikadhani ni twafwa-dhali
Mkuu zingine ni ndoto zisikusumbue sanaHalafu ndio mnataka kuwafunga vipers nje ndani? Aliyewaroga kafa
Taratibu basi 😁😁Wanga nyie
Bocco aheshimiwe mkuu 😀Bocco Hata Kutuliza Mpira Hawezi
Kule kwa Vipers ndio akili yote ilipo, huku ni kama tumeamshwa tu saa nane usiku tukacheze..Halafu ndio mnataka kuwafunga vipers nje ndani? Aliyewaroga kafa
Oooh hivi ukifungwa tena si utahama chumba leo? Naombea ufunge amani irudi home🤣Uchawi wa hizi timu ikiongozwa na Yanga umetaradadi
Mikia umetepeta sanaKipre Junior anawapa kipimo cha umri hapa Mikia
Jipe moyo jumamosi utazimia nakwambiaMkuu zingine ni ndoto zisikusumbue sana
😀😀Oooh hivi ukifungwa tena si utahama chumba leo? Naombea ufunge amani irudi home🤣
Balaaa rafikiOooh hivi ukifungwa tena si utahama chumba leo? Naombea ufunge amani irudi home🤣