Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari ww ni AshuraSimba mkishinda niitwe ashura
Hii ni michezo
Ndo nshasema sasa hahahaa@Kalpana unasema [emoji12][emoji12][emoji12]
Kwaio mnatuiga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie mliwekwa ndani ya dkk 16 bao 2
Mazembe tulimpiga ngapi ndani ya dakika ngapi?Nyie mliwekwa ndani ya dkk 16 bao 2
Sio huyo pekee, kuna analysis naifanya pale Simba panahitajika kufumuliwa kwa namna ya kipekee mwisho wa msimu, huyo Zimbwe simlaumu, jamaa amecheza mfululizo misimu zaidi ya mitano!Zimbwe anachoka Sanaaa Atafutiwe Mbadalaa
Wewe mzee acha kunya kunya hapa unajuaje kama niko kwny siku zako?Mazembe tulimpiga ngapi ndani ya dakika ngapi?
Hakika wiki hii utatenda period kabla ya mzunguko wako walahi.😀😀
Subilia kwanza mfumuliwe hayo mengine tutayafanyia kazi mwishon mwa msimuSio huyo pekee, kuna analysis naifanya pale Simba panahitajika kufumuliwa kwa namna ya kipekee mwisho wa msimu, huyo Zimbwe simlaumu, jamaa amecheza mfululizo misimu zaidi ya mitano!
Hii kitu haipo pengine duniani, ni Simba pekee..
Kipigo atachopigwa leo Azam kitampotezea maana halisi ya mchezo ni burudani
[emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ni vipofu walioona jua..yani kumfunga Tp Mazembe wanajikuutaaa wakati walifungwa na Ihefu....
Hili hawatakaa walisahau..
How?Umezima data sekunde ya 15 tu😀😀😀