[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona Robartinho anamnong'oneza Mgunda apashe aingie.
Mnacheza wastaafu mnategemea mpate matokeoSimba hii ya leo, pasua kichwa kabisa. Huyu Mzamiru kama ana janaba leo. Mmmmke.
Yaani wewe unaimani na kocha? Mabadiliko hapo ni kocha kuondoka. Mimi sikuona sababu ya uongozi wa Simba kuleta kocha katikati ya msimu.Hili tatizo tusiende nalo Uganda, litatu cost pakubwa sana, kocha afanye mabadiliko kumaliza hii kero.
Timu haina strickers.Mi niseme tu kwa issue za bongo ilitakiwa alivokuja cocha mzungu na Mgunda alitakiwa asiwepo,hawa makocha wawili kuwaweka pamoja ni kuiangamiza Simba
Narudia..Pamoja na kuwa simba inaonekana ni timu mbovu ila kuna baadhi ya wachezaji nawahisi wanahujumu timu japo sijui wanapata faida gani au wananufaika na nini. Ukiangalia mpira vizuri utagundua Mzamiru, sako na Inonga hawatimizi majukumu yao ipasavyo ila cha ajabu kwenye mazoezi wanakiwasha mbaya.
Mlifanya makosa makubwa sana kuingia uwanjani kwa kutanguliza mathako.Nikiwa kama mwanadunduka Opps π mwanasimba guvu moya...
Tunaendelea na kauli yetu..
Kwa Mkapa hatoki mtu πππ
Mkuu hakuna draw hapo.Naanza kumhurumia kocha wa Simba bora hata watoe draw
Atajuwa mwenyewe ameacha vipers amekuja kuangika na SimbaNaanza kumhurumia kocha wa Simba bora hata watoe draw
Na kinyumenyume ndio utamaduni wetu mbadala wa moto π π πNikiwa kama mwanadunduka Opps π mwanasimba guvu moya...
Tunaendelea na kauli yetu..
Kwa Mkapa hatoki mtu πππ