Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ukija na wewe tunakupiga nje ndani
Simba ni aibu kwa hili Taifa mnapigwa nje mnapigwa ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ni aibu kwa hili Taifa mnapigwa nje mnapigwa ndani
Anaongea sana lakini ana ubahili ndani yake, tuliwakosa kina Djuma Shaban, Aucho, Manzoki, na wengine .. hawa wangefaa kuwa mbadala wa kina Zimbwe ili nao wapumzike ..Mo Dewj ,Hana Mchango na Simba Sasa, Uwekezaji wake unazidiwa mbali kabisa na Baresa wa Azam
😂😂😂😂ILikua na kifurushi cha halichachi hahah
Dk 90.Dakika ya ngapi?
😂🤣🤣Kuna mtu ana Avatar ya Mo ndiyo namuona anatype baada ya kusawazisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nmekasirika[emoji23][emoji23]
90+5😂😂😂😂
Dakika ya ngapi kwani?
Achana nao hao...unapaswa kuwa na timu yako kwa mazuri na mabaya piaKausha mtani, kuna watu wanachungulia kwa jicho moja halafu wanarudi kinyumenyume....
Kibu tusamehe