FT: Simba 2-0 JKT Tanzania | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 28/05/2024

Licha ya Simba kuwa mbovu, ila Mgunda ana uwezo mdogo sana wa kiufundi.
Ni aina ya makocha ambao hawana 'Mbinu' zaidi ya kuhamasisha wachezaji.
Mgunda anatembea na upepo, gemu na Kagera baada ya kuzidiwa alishindwa kubadili mbinu hata gemu na kmc pia alishindwa kuwa na mbinu mbadala na kufanya mabadiliko sahihi wanampigia debe sidhani Kama wanajua mpira unachezwaje wengi wamejikita kwenye matokeo
 
Ni matokeo yanayotia uchungu kwa Wanasimba lakini upande mwingine ni mazuri maana yatawafumbua macho uhuni unaofanywa na mwekezaji, viongozi na wanachama ambao wanatuchagulia viongozi wabovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…