Utopolo wanaipenda sana hiyo nafasi ya nne..hapa wa nne na kule nafasi ya nne.
Sub zake huwa si za kiufundi sana, ni kama anaingiza na kutoa wachezaji ili tu wengine wacheze.Kuna wakati huyu Fadlu kama ana mawenge vile. Timu ilikuwa inacheza kwa kasi, makosa machache, KenGold walikuwa wamejazana kwao wakilinda tu. Kulikuwa na dalili zote za kumpiga mkono. Kaenda kuivuruga sasa hivi tunakoswa koswa sisi. Kweli akili si nywele.
Huyu pasta ameanza kuitumia hii kama shuhuda kwenye unabii wake.
😃😃😃😃
Sahihi kabisa. Leo nimeona vizuri tofauti za uchezaji waoFadru lazima amuheshimu Awesu Awesu, Ahua sio playmaker mzuri.
mkishinda mnalaumu hadi moderatorYule jamaa ni Yanga, huwa hafurahishwi na sisi kufunga
Yes, ubaya wa woga ni woga wenyewe. Hizi timu dhaifu zikijaa kwenye mfumo unazipa za uso kwelikweli ili wengine wajenge woga.Alafu Wachezaji wanapoteza muda,ari ya kutafuta magoli zaidi ipo chini au sijui ndio wamezidiwa mbinu na Wapinzani hata sielewi.Tukija kukutana na timu kama Singida au Tabora roho si zitakuwa mikono.
Tajiri wenu si naskia alitimua wachezaji karibia wote walioipandisha daraja timu.Itewe, Godima, Kiwanja hadi Itumbi tunajiandaa kuikarabati timu yetu ya Ken Gold
Ikumbukwe, Simba ndio timu pekee ya Tanzania iliyopata ushindi kwenye michuano ya kimataifa weekend iliyopita, baada ya kumnyoa Sfaxien 2-1.📌❤🔨❤📌Ubaya Ubwela!!
Mnyama Mkubwa, Simba Sports wanashuka dimbani kumenyana na Ken Gold kutoka Mbeya katika dimba la KMC majira ya Saa 10:00 jioni.
Ikumbukwe, Simba ndio timu pekee ya Tanzania iliyopata ushindi kwenye michuano ya kimataifa weekend iliyopita, baada ya kumnyoa Sfaxien 2-1.
Simba inatarajiwa kuendeleza ushindi katika safari yake ya kurejea kileleni. Wenyewe wanasema KMC Complex ni uwanja wa kujidai kwa Jean Charles Ahoua.
Mechi ni Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD na live updates zitawajia hapa!View attachment 3179543
Nilikua mbali kipenzi mtani...nadhani kuanzia kesho tena sitakua online...nitakua nadokoa dokoa...Kila la kheri Kalpana