Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #221
Kesho atapanda kwa uweza wa makosa ya kibinadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho atapanda kwa uweza wa makosa ya kibinadamu
Kesho atapanda kwa uweza wa makosa ya kibinadamu
Leo kaaminiwa sanaKibu alipaswa awe ametolewa kitambo tu ila kwakuww alipiga mbili mechi iliyopita baridaaaaa
SanaLeo kaaminiwa sana
Hakuna timu humoIla huyu Mutale🥶🥶🥶
Hawa Azam naona wanaenda kupisha nafasi ya ntu
Ndio ndio 😃😀😀😀😀😀Tukutane kesho kwa wazee wa mapigo na mwendo, Mashujaa timu yetu ya mkoani
Wamekaa kwa muda tu hapoHawa Azam naona wanaenda kupisha nafasi ya ntu
Itewe, Godima, Kiwanja hadi Itumbi tunajiandaa kuikarabati timu yetu ya Ken GoldChunya kulikuwa na timu inaitwa Itewe City hii ilikuwa ni timu yangu kabisa ambayo ilitoholewa kutoka kwenye timu ya Rangers.
Hao Itewe City ndio walikuwa level ya Ken Gold, Ken Gold kumshundanisha na Simba ni sawa na kichwa cha jogoo ukikebesha cement.
tumpe yanga kwa mkopoSana miyeyusho sana huyo
Dah!tumpe yanga kwa mkopo
Alafu Wachezaji wanapoteza muda,ari ya kutafuta magoli zaidi ipo chini au sijui ndio wamezidiwa mbinu na Wapinzani hata sielewi.Tukija kukutana na timu kama Singida au Tabora roho si zitakuwa mikono.Fadlu amenikwaza sana kipindi cha pili. Sub alizofanya amefanya bila mipangilio yoyote ile. Ni kama hajui kwamba kuna wakati kunakuwa na ligi ya idadi ya magoli.