Nongwaapewe kadi utapigaje mpira kwenye utosi ukiumia je..π€£
πππapewe kadi utapigaje mpira kwenye utosi ukiumia je..π€£
penati fcNongwa
Tufanye 1 -0penati fc
Unajua ball kweli wewe?penati fc
tulia weweUnajua ball kweli wewe?
Ukiona timu kila mechi inapata penati maana yake hiyo timu inacheza kuwazidi wapinzani hadi wanacheza rafuSimba bila penat hawatoboi,karibu Kila mechi
Nusu hahahaSimba wa kimataifa sio wale wenzetu wana point nusu sijui Moja sikumbuki vizuri...
MbumbumbuUkiona timu kila mechi inapata penati maana yake hiyo timu inacheza kuwazidi wapinzani hadi wanacheza rafu
Hili ndiyo linaogopesha zaidi mkuuNa hapo bado tunajenga timu
Simba bila penat hawatoboi,karibu Kila mechi
Anajitahidi ila hamzidi Ngomapacome
Na bado tunazihitaji sana ili tuendelee kuzitumia kutoa somo kwa miguu upande wote ambao hawajui kupiga penatiSimba bila penat hawatoboi,karibu Kila mechi
Hii komenti iwekwe kwenye jalada aione Jakaya na Mzee Manara.We piga domo fanya mocking ila Azizi Ki ndio anayejua ugumu wa penalt
ππππππππππ NakubaliWe piga domo fanya mocking ila Azizi Ki ndio anayejua ugumu wa penalt
Chunya kulikuwa na timu inaitwa Itewe City hii ilikuwa ni timu yangu kabisa ambayo ilitoholewa kutoka kwenye timu ya Rangers.MUNGU tubariki Chunya