Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
FULL TIME: Simba imeshinda kwa magoli 2-0
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza.
85' Dejan anampa pasi nzuri Sakho, shuti linatoka nje kidogo ya lango.
83' Phiri anatoka anaingi Dejan.
75' Shangwe za mashabiki zinaongezeka baad aya kumuona Dejan akipata misuli.
70' Simba wamepunguza kasi,
61' Nyasa wanapata kona.
55' Simba ni kama wameamka, wameongeza kasi ya mchezo.
53' Simba wanafanya shambulizi kali Phiri anashindwa kuitumia nafasi vizuri.
Phiri anaipatia Simba goli la pili akipiga shuti kali baada ya kupokea pasi kutoka kwa Okrah.
50' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
48' Big Bullets wanafanya shambulizi kali, shuti kali linapanguliwa na Manula inakuwa kona.
46' Kasi ya mchezo imeanza mdogomdogo
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO: Simba wanaongoza goli 1-0 kwa jumla wakiwa mbele kwa magoli 3-0 kutokana na ushindi waliopata katika mchezo wa kwanza.
45' Inaongezwa dakika moja ya nyongeza
37' Mchezo unacheza katikati ya uwanja muda mwingi.
35' Okrah anawatoka walinzi wa Nyasa lakini shuti lake linapaa juu ya lango.
30'Big Bullets wanafika langoni mwa Simba lakini wanacheza faulo.
Phiri anaipatia Simba goli la kwanza akimalizia pasi nzuri ya Chama.
29' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
25' Kasi ya mchezo imepungua timu zote zikipeana zamu kumiliki mpira.
21' Big Bullets wanapata kona, inapigwa lakini haina faida.
15' Okrah anachezewa faulo, mchezo unasimama kwa muda.
12' Big Bullets nao wanapiga pasi kadhaa za kujipanga.
10' Timu zote zinafunguka lakini ni Simba ndio wanaomiliki mpira muda mwingi.
6' Okrah anachezewa faulo pembeni la eneo la 18 la Nyasa.
2' Simba wanafika langoni mwa Big Bullets lakini Chama anachelewa kufanya maamuzi, anampa pasi Mzamiru ambaye anapiga shuti linatoka nje.
Mchezo umeanza
Kikosi cha Simba katika mchezo wa leo
Live updates zitakuwa hapa...
Leo majira ya saa 10:00 jioni, katika dimba la Benjamin Mkapa, Simba watashuka dimbani katika mchezo wa pili wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo watamenyana na Nyasa Big Bullets ya Malawi.
Ikumbukwe, katika mchezo wa awali, Simba wakiwa ugenini waliibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila.
Hivyo, Simba wanatakiwa kucheza kwa tahadhari ili waweze kufuzu raundi inayofata.
Mechi itakuwa live kupitia Azam Sports 1HD
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza.
85' Dejan anampa pasi nzuri Sakho, shuti linatoka nje kidogo ya lango.
83' Phiri anatoka anaingi Dejan.
75' Shangwe za mashabiki zinaongezeka baad aya kumuona Dejan akipata misuli.
70' Simba wamepunguza kasi,
61' Nyasa wanapata kona.
55' Simba ni kama wameamka, wameongeza kasi ya mchezo.
53' Simba wanafanya shambulizi kali Phiri anashindwa kuitumia nafasi vizuri.
Phiri anaipatia Simba goli la pili akipiga shuti kali baada ya kupokea pasi kutoka kwa Okrah.
50' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
48' Big Bullets wanafanya shambulizi kali, shuti kali linapanguliwa na Manula inakuwa kona.
46' Kasi ya mchezo imeanza mdogomdogo
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO: Simba wanaongoza goli 1-0 kwa jumla wakiwa mbele kwa magoli 3-0 kutokana na ushindi waliopata katika mchezo wa kwanza.
45' Inaongezwa dakika moja ya nyongeza
37' Mchezo unacheza katikati ya uwanja muda mwingi.
35' Okrah anawatoka walinzi wa Nyasa lakini shuti lake linapaa juu ya lango.
30'Big Bullets wanafika langoni mwa Simba lakini wanacheza faulo.
Phiri anaipatia Simba goli la kwanza akimalizia pasi nzuri ya Chama.
29' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
25' Kasi ya mchezo imepungua timu zote zikipeana zamu kumiliki mpira.
21' Big Bullets wanapata kona, inapigwa lakini haina faida.
15' Okrah anachezewa faulo, mchezo unasimama kwa muda.
12' Big Bullets nao wanapiga pasi kadhaa za kujipanga.
10' Timu zote zinafunguka lakini ni Simba ndio wanaomiliki mpira muda mwingi.
6' Okrah anachezewa faulo pembeni la eneo la 18 la Nyasa.
2' Simba wanafika langoni mwa Big Bullets lakini Chama anachelewa kufanya maamuzi, anampa pasi Mzamiru ambaye anapiga shuti linatoka nje.
Mchezo umeanza
Kikosi cha Simba katika mchezo wa leo
Leo majira ya saa 10:00 jioni, katika dimba la Benjamin Mkapa, Simba watashuka dimbani katika mchezo wa pili wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo watamenyana na Nyasa Big Bullets ya Malawi.
Ikumbukwe, katika mchezo wa awali, Simba wakiwa ugenini waliibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila.
Hivyo, Simba wanatakiwa kucheza kwa tahadhari ili waweze kufuzu raundi inayofata.
Mechi itakuwa live kupitia Azam Sports 1HD