FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Unateseka ukiwa wapi shougaaaaa angu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi huna furaha na team yako?? Poleeeeee kunywa maji ya uvugu vugu na upumzikeeee.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa unavyomuitaga Shougaaa yako, huwa nacheka sana nikisoma.

Tate Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie viande ile ni derby, Derby ina mambo mengi, unaweza ukawa na wachezaji wazuri na ukapoteza mechi au ukashindwa kupata matokeo

Katika kile kipindi ambacho Yanga ilikuwa mbovu sana, mlitufunga goli moja kwa Morrison

Wakati huo ukumbuke sisi tuna kikosi bora na kipana kuliko nyinyi.

Tukaja kwenye mzunguko wa pili tukawapiga goli mbili kipindi cha kwanza, kipindi cha pili mkarudisha zote na mechi kuisha ikiwa ni sare.

Hizo zote ni mechi za msimu mmoja na kikosi kimoja huku nyinyi mkiwa na kikosi kibovu lakini bado hatukuweza kuwafunga.

Kuwa na kikosi kizuri au wachezaji bora bado kwenye ishu ya Derby sio kitu cha kutegemea sana kwenye matokeo positive ya mwisho

Over confidence inaweza kukufanya upoteze mchezo huku upande wa pili ile Jihad ya kuona wao ni dhaifu hivyo wakajituma kwa nguvu zote wanaweza kupata ushindi dhidi ya timu bora.

Hata tulivtofungwa hapa na Jwaneng Galaxy msimu uliopita, haikuchangiwa na ubovu wa kikosi ilikuwa ni over cinfidence.

Wakati wapinzani walikuja kucheza Jihad na kwa bahati mbaya au nzuri wenzetu wakashinda.

Hizi References zenu za Derby ni ishara jinsi gani wengi wenu hamshirikishi ubongo, juzi hapo Man U kamfunga Arsenal licha ya kwamba Arsenal ni bora zaidi ya Man kwa msimu huu lakini ubora wake haukumsaidia japo kuwa mpira walicheza sana na kufanya mashambulizi mengi.
Naomba unitoe ushamba mkuu

Unieleweshe maana ya derby
 
Mi goli moja naona kama ni kubahatisha tuu pale mlibahatisha hata yule Fei hakujua kama atafunga ndo maana alishangaa.
Na ngao ya jamii nayo tulibahatisha....haya bahatisheni na nyinyi watani[emoji16]
 
Mmekuwa watumwa wa Mayele you praising him to the fullest

No wonder kuona baadhi yenu wamefikia hatua ya kutamani kuwa wanawake ili waolewe na Mayele
Hii clip ya jamaa akitaka kumpa mayele kalio lake nnayo jioni naipandisha humu
 
Huyu Moses Phiri kashanishinda tabia
 
Back
Top Bottom