FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Dejan [emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
 
Kulikuwa na umuhimu gani wa kutudanganya kuwa unakunywa JD? Watu wanagonga vyombo safi kabisa zaidi ya hiyo JD na wametulia tu.Wewe ulikuwa unakunywa K-Vant.Nadhani sasa makasiriko ya matokeo ya Simba yamepungua
Mkuu basi nilikua sinywi JD!

Halafu mi nilihitaji mshinde ili tukutane robo fainali wote sitapenda mbaki nyuma
 
Uto wataanzia home alafu shughuli yao itaishia kwa Eiresalas Mariam Ethiopia au kwa Omari Bashir Sudan.
Simba wataanzia Lupaso alafu wanaenda ugenini.
Hujui lolote, Yanga inaanzia nyumbani na mechi tunaimaliza hapa hapa nyumbani.

Simba itaanzia away itamalizia nyumbani.
 
Usitupangie, hata sisi hatuwapingii mnavyomuabudu Chama kama Mungu.
Ila nyie mmezidi khaaa yani simba inaangalia wachezaji wote leo atasifiwa okra kesho phir keshokutwa dejan basi safi tuu ila ww sasa ni mayele mayele mbona mm namkubali Feisal anacheza vzr kuliko mayele mbona mmemsahau?
 
Mashabiki wa simba bhana! Ngoja timu ifanye vibaya sasa!! Kocha Mgunda uwezo wake mdogo!! Wachezaji hawajitumi!! Matola aondoke!! Barbara amuachie Magori nafasi ya U CEO!!

Tunawaangalia tu mnavyo jimwambafai.
Unateseka ukiwa wapi shougaaaaa angu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi huna furaha na team yako?? Poleeeeee kunywa maji ya uvugu vugu na upumzikeeee.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Unateseka ukiwa wapi shougaaaaa angu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi huna furaha na team yako?? Poleeeeee kunywa maji ya uvugu vugu na upumzikeeee.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ila wewe hahaaaa. Ila unachelewa sana cku hz humu au una mishe zina kutight
 
Usitupangie, hata sisi hatuwapingii mnavyomuabudu Chama kama Mungu.
Hakuna anaye mpraise chama the way mnavyofanya kwa Mayele mpaka mnashusha utu wenu

Huyo Chama ni nyie ndio mliokuwa mnataka kumlinganisha na mchezaji wenu ambaye kihesabu tu hilo jambo haliwezekani
 
1. Al-Merreikh (Sud)

Al Ahly Tripoli (Lby)
08.10. 15:00

2. ASEC Mimosas (Ivo)

Horoya (Gui)
08.10. 15:00

3. Cape Town City (Rsa)

Petro Atletico (Ang)
08.10. 15:00

4. Kadiogo (Bfa)

AS Vita Club (Drc)
08.10. 15:00

5. Kara (Tog)

Kabylie (Alg)
08.10. 15:00

6. Monastir (Tun)

Al Ahly (Egy)
08.10. 15:00

7. Nigelec (Nig)

Raja Casablanca (Mar)
08.10. 15:00

8. Plateau United (Nga)

Esperance Tunis (Tun)
08.10. 15:00

9. Primeiro de Agosto (Ang)

Simba (Tan)
08.10. 15:00

10. Rivers United (Nga)

Wydad (Mar)
08.10. 15:00

11. Royal Leopards (Esw)

Cotonsport (Cmr)
08.10. 15:00

12. Vipers (Uga)

Mazembe (Drc)
08.10. 15:00

13. Young Africans (Tan)

Al-Hilal Omdurman (Sud)
08.10. 15:00

14. Al Ahly (Egy)

Monastir (Tun)
15.10. 15:00

15. Al Ahly Tripoli (Lby)

Al-Merreikh (Sud)
15.10. 15:00

16. Al-Hilal Omdurman (Sud)

Young Africans (Tan)
15.10. 15:00

17. AS Vita Club (Drc)

Kadiogo (Bfa)
15.10. 15:00

18. Cotonsport (Cmr)

Royal Leopards (Esw)
15.10. 15:00

19. Esperance Tunis (Tun)

Plateau United (Nga)
15.10. 15:00

20. Horoya (Gui)

ASEC Mimosas (Ivo)
15.10. 15:00

21. Kabylie (Alg)

Kara (Tog)
15.10. 15:00

22. Mazembe (Drc)

Vipers (Uga)
15.10. 15:00

23. Petro Atletico (Ang)

Cape Town City (Rsa)
15.10. 15:00

24. Raja Casablanca (Mar)

Nigelec (Nig)
15.10. 15:00

25. Simba (Tan)

Primeiro de Agosto (Ang)
15.10. 15:00

26. Wydad (Mar)

Rivers United (Nga)
15.10. 15:00
Final
-
 
Usitupangie, hata sisi hatuwapingii mnavyomuabudu Chama kama Mungu.
..
IMG_20220918_234924.jpg
 
Back
Top Bottom