SIMBA forever[emoji173]
4-0Nakazia 2-0
Phiri na Chama
Wewe ndio mmiliki wa makundi kiasi kwamba una amua nani aende nani abaki?Hivi umepandisha kabisa matako yako kisa kuwafunga ZALAN FC? Ni swala la mida tu ila swala la makundi msahau kabisa, na hili wala sio swala la kusubiria maajabu ya mpira.
Mashabiki wa simba bhana! Ngoja timu ifanye vibaya sasa!! Kocha Mgunda uwezo wake mdogo!! Wachezaji hawajitumi!! Matola aondoke!! Barbara amuachie Magori nafasi ya U CEO!!
Tunawaangalia tu mnavyo jimwambafai.
Chama nae angempa hata KibuSimba inapoteza Nafasi hapa kupitia Chama
Chama nae angempa hata Kibu
Haland Pale Hakuachi
Aliachia vizuri. Sema Mzamiru angepiga blockChama nae angempa hata Kibu