Halafu ili nione nini? 🤣🤣Unaanzaje kuangalia mipira ya Mipang'ang'a ilihali wewe ni Mwananchi kama si uwongo huu ni nini [emoji848][emoji23]
Imeenda tayari kwa HistoryIzo ni bahat za Onana Lakin hamna mchezaji umo
Kwa faida ya wale ambao hatukuuona/soma huo utabiri, naomba utudokeze ulivyotabiriNilitabiri hii mechi😉😉
Ahsante sana kwa Dua nzuri, tunavyo viwili sasaSina hata jema ninalowatakia, liwakute la kuwakuta.
Unateseka ukiwa wapi?Izo ni bahat za Onana Lakin hamna mchezaji umo
Tayari mmeshaanza!Mwambieni Gamondi ashike daftari na peni ajifunze jinsi ya kumdhibiti mwarabu anapoingia nyumbani kwako
BadoKwahiyo wameshalirudisha?
Uwaone Wastaafu tupu wa Makolokolo SC [emoji28]Halafu ili nione nini? [emoji1787][emoji1787]