[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Sikujua Maki wewe ni mchokozi hivi..!!
Ni shida tupu yaani!Safi sana watani, ila ndiyo tutakoma sasa mitaani mlivyo na sifa๐๐โโ๏ธ
๐ ๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃSafi sana watani, ila ndiyo tutakoma sasa mitaani mlivyo na sifa๐๐โโ๏ธ
Subiri kesho ufungwe nakibonde mwenzioVibonde wamekutana, wydad hata kwao alikuwa anafungika vizuri tu. Sema ndo ivo alikutana na kibonde mwenzie
Hata Cr ni unga mnoWydad siku hizi wamekuwa unga sana
Hapa natafuta namba za mganga wenu..!!Hii game sidhani kama tutatoka.
Tutajuta๐Ni shida tupu yaani!
Wewe nae mbona huwa nakuona una akili zako?Angalia hata market value
Ayoub thamani yake sokoni ni Euro 1.20MView attachment 2847149
Wakati Diarra ni Uero 200K
View attachment 2847150
Thamani ina determine ubora wa mchezaji
Sema imekutana na Simba boraWydad hakuna timu pale. Sijui miarabu feki hii ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Ngoja nimuulize Faiza ๐
Week itakua na makele sana, ila mmeotea tu siyo mafundi kiviile๐๐โโ๏ธ๐ ๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nina raha isiyo kifani mdogo wangu..
Karibu unyamani.
Wewe nae mbona huwa nakuona una akili zako?
Utaifa na management ya mchezaji husika vina part kubwa katika market value.
Pia, market value sio sababu pekee ya kuamua ubora wa mchezaji.
Kwani hujawahi kuona wachezaji wakali wakilipwa kiduchu kuliko wasio na lolote mbele yao? We wa wapi?
Unakumbuka kwa misimu karibu mitatu Sadio Mane ndio alikuwa injini ya Liverpool? Market value yake iliendana na aliokuwa nao kikosini?
Nimekushusha vyeo.
Umewapa comment uto. Wataijibu hii tu.Sema imekutana na Simba bora