FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Hivi Baleke, ana umuhimu sana simba, au kwa ajili ya kuleta usumbufu kumzuga adui?
 
Bado ila nina mpenzi ambaye niko tayari kwake kwa hilo.
So yeah, I’m taken.
Weka akiba ya maneno Kuna watu walinyang'anywa wachumba.
Unaweza ukapelekwa kwenda kuishi Brunei.Ukasahau kabisa kama Kuna shida duniani.
By the way mchezo wa Leo utarudisha confidence ya timu.
 
Mungu Ibariki SIMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana upana gani magoli yote zaidi ya 30m,hao mabeki labda wana undugu na Unju.
Kwani mpigaji wa huo mpira aliyefunga ana upana gani kuweza kufanya idadi ya mabeki waliomzuia Ayoub aweze kuonekana?
 
Bocco anaingia

Israel Mwenda anaingia

Onana anatoka

Chama anatoka
 
Weka akiba ya maneno Kuna watu walinyang'anywa wachumba.
Unaweza ukapelekwa kwenda kuishi Brunei.Ukasahau kabisa kama Kuna shida duniani.
By the way mchezo wa Leo utarudisha confidence ya timu.
Sasa jamani mi nimesema kipi kibaya? Yani nikiwa na mpenzi ambaye namuona anafaa kuwa mume nisiseme nimechukuliwa tayari?

Kunyang’anywa mchumba kunategemea na mchumba mwenyewe ambaye sijioni namna hiyo.

Yes, ushindi ni motisha.
 
Ni sahihi kabisa Best...

Sasa hayo makitu yako yanakuwa sio utani tena...ni uchafu...

Merry Christmas in advance Bestie.
Christmas ni mipango ya maokoto kibiashara kwa wajanja duniani, huoni kwanini inshu kama hizo Wanaoweweseka nazo sana ni Ke na Watoto [emoji848][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…