makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kuna umuhimu wa kwenda mapumziko tukongoza 2-0 tukizingua watarudi na nguvu zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kuna la tatu hapa
Kwahiyo wameshalirudisha?Hirizi pumuzi
Mmmh nipo banda umiza nimemwagiwa maji c mchezo bora mpira ningeangalia nyumbaniBwana eeeeeh 🥹🥹
😄🤣😀Huku onana kule ayubu leo watu wataficha wapi sura zai
Wanaompondaga Onana wanasemaje
Huyu huyu anayecheza nayeNianzie Kwa kucheka ,hivi Simba atamfunga nani Kwa staili anayocheza?
Dah! Kazi wanayo. Yaani unashangilia magoli, huku unagugumia kwa maumivu. 😁Huku onana kule ayubu leo watu wataficha wapi sura zai
Hamna mchezaji umoWanaompondaga Onana wanasemaje
Huwa tunabadilika kutokana na mazingira mkuuMashabiki mlio kuwa mnamponda Onana leo mtazificha wapi sura zenu!!! 🤭