Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Haikuwa open space alizibwa na mabekiKwani yale magoli ya Zambia yalikuwaje, si Tegeta Chamanzi au haukuona. Tena alipigwa Zambia na Dar au umesahau.
Angalia ile ya Diarra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikuwa open space alizibwa na mabekiKwani yale magoli ya Zambia yalikuwaje, si Tegeta Chamanzi au haukuona. Tena alipigwa Zambia na Dar au umesahau.
Kwa heshima yako nimekuwa mpole, ila Makolokolo si ni Watani zetu sisi Wananchi au huwa ni unafki tu Best [emoji848][emoji847]Acha hizi kitu Inter...
Unataka kuboa sasa...
Huyo beki ana upana gani........ so kwa hiyo alizibwa Zambia na Dar?Haikuwa open space alizibwa na mabeki
Angalia ile ya Diarra
Hamna lolote tena nyie mna maneno machafu sana.Sisi ni wavumilivu sana, tatizo nyie mkitubahatisha ndio mpaka kwenye mabango mjini!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nimesema mabeki sijasema beki uwe muelewaHuyo beki ana upana gani........ so kwa hiyo alizibwa Zambia na Dar?
Kwa faida ya wale ambao hatukuuona/soma huo utabiri, naomba utudokeze ulivyotabiri
VyuraSafi sana watani, ila ndiyo tutakoma sasa mitaani mlivyo na sifa😀🏃♀️
Bado ila nina mpenzi ambaye niko tayari kwake kwa hilo.
So yeah, I’m taken.
Hayo maneno yakutoka kwa bahati mbaya usiyatilie maanani..ni ajali tu!Hamna lolote tena nyie mna maneno machafu sana.
Kuna siku alijisahau akaongea neno moja hilo nilichoka!
Nyie ndio kiboko kwa maneno basi tu misimu hii mitatu hamna jipya.
Ni sahihi kabisa Best...Kwa heshima yako nimekuwa mpole, ila Makolokolo si ni Watani zetu sisi Wananchi au huwa ni unafki tu Best [emoji848][emoji847]
MadeamaHawa ni wydad au kagera Mbona wanacheza Kama wamechoka sana
Ndiyo sababu gwajeng waliwapiga kwao na asec naye akajipigia
Bwahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa [emoji23]Ni sahihi kabisa Best...
Sasa hayo makitu yako yanakuwa sio utani tena...ni uchafu...
Merry Christmas in advance Bestie.