Kuna raha ya kumshinda mpinzani wako bwanaYaani Simba wakishinda Makele mengi sana kama hawaamini ila Yanga wangeshinda kungekuwa kimya maana wameshazoea ushindi.
Mmetuotea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukimaliza utarudi huku tyuuh, haiepukiki hii.
Mtoto ana akili kuliko baba Na Haji alishasema wenye akili baba yake na Mzee Kikwete wengine wote hamnazo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujanja kuwahiiiiMmetuotea.
Bwana weehDaaah Simba hii leo imetufanya tutambee tunatembea vifua vimejaaa.. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto ana akili kuliko baba Na Haji alishasema wenye akili baba yake na Mzee Kikwete wengine wote hamnazo.
Kuotewa kimoja viwili kunogewa.Sema kweli mmenogewa.Mmetuotea.
Kikubwa point tatu tumeondoka nazo dear [emoji4]Kinachoniuma ni kwamba simba alikuwa na nafasi hata ya kushinda goli tano leo!
Aki leo ningekua na hela ningejipongeza kwa wineMie ndo nimevurugwaaa kabisaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pep huwa hafagilii makunyanzi yaani mshikaji wake ni Gundogan tu wengine wakileta mashauzi uwa wanafunguliwa milango ya kutokea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan unanichukuliajeee??
Kitu naumiaga n Jesus kutoka City, yaan yule jamaa daah.
Wee huku city mie ni fan kindaki ndaki
Yaan wee achaaaa, leo full burudaaniii.Aki leo ningekua na hela ningejipongeza kwa wine
Sio kwa raha hizi za Simba jamani [emoji28][emoji28]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Niwacheeee leo niko buzzy na simba, citizen ntakupangia kikosi siku ya 2nd leg Ft Bayern quarter finalPep huwa hafagilii makunyanzi yaani mshikaji wake ni Gundogan tu wengine wakileta mashauzi uwa wanafunguliwa milango ya kutokea.
Nipangie basi hicho kikosi Cytzen lia lia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbili zimewatoshaKinachoniuma ni kwamba simba alikuwa na nafasi hata ya kushinda goli tano leo!
Kwa hisani ya gugo ππππNiwacheeee leo niko buzzy na simba, citizen ntakupangia kikosi siku ya 2nd leg Ft Bayern quarter final
πππππ ntakuwekea kabla ya officials list ya teamKwa hisani ya gugo ππππ
Nilipoona hiii avatar nikajua Chukwu emeka amefufuka ππππMbili zimewatosha
Tungefunga nyingi, wangechanganyikiwa sana wale
Nataka first 11 Bestiie kama ile ya Liverpool inayojulikana na kila mtu πππππππππ ntakuwekea kabla ya officials list ya team
Pacha wangu huyo πNilipoona hiii avatar nikajua Chukwu emeka amefufuka ππππ