cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ameeeeeen!!!!Leo ndiyo ile siku Wakuu....
Mungu Ibariki Simba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameeeeeen!!!!Leo ndiyo ile siku Wakuu....
Mungu Ibariki Simba...
Yaani kitendo cha kuzaliwa tu Tanzania, tayari unakuwa ni Mwananchi halali wa Tanzania! Ni tofauti kabisa na mtu aliyezaliwa Bombay India.Kumbe na Evelyn Salt naye mwananchi?
Hata kule Soweto haukuwa ushirikina mlikuwa mnaota moto baridi Kali."Yanajurikana"
Hizi PhD hizi ni zakuwa nazo makini sana
BTW Tulipita kwenye mlango rasmi, ishu ya kulinda uwanja haikuhusisha ulinzi kwenye maswala ya kishirikina
We ni muumini wa dini gani?Hata kule Soweto haukuwa ushirikina mlikuwa mnaota moto baridi Kali.
Sawa.Mungu ana mambo mengi ya kufanya dadaa
Na kwasababu wenye akili ni wawili basi kitendo cha kuzaliwa tu Tanzania tayari unakuwa mjingaYaani kitendo cha kuzaliwa tu Tanzania, tayari unakuwa ni Mwananchi halali wa Tanzania! Ni tofauti kabisa na mtu aliyezaliwa Bombay India.
Haji Manara amewaharibu akili mashabiki wenginwa simba. Tunamshukuru Walace Karia kwa kumfungia huyu mtu kwenye klabu yetu.Na kwasababu wenye akili ni wawili basi kitendo cha kuzaliwa tu Tanzania tayari unakuwa mjinga
Except uwe Sunday Manara au Kikwete
Sasa kwa kulijua hilo mbona mlikuwa mnamsapoti kupinga hukumu aliyopewa?Haji Manara amewaharibu akili mashabiki wenginwa simba. Tunamshukuru Walace Karia kwa kumfungia huyu mtu kwenye klabu yetu.
Maana kuna uwezekano mkubwa kama angeendelea kuhudumu kwenye klabu yetu, baadhi ya mashabiki wa Yanga nao wangekuwa kama nyinyi. Yaani akisema tu kitu, hata kama ni pumba! Basi mnakichukua kama kilivyo, na kukileta humu jukwaani, kuja kumtukuza.
sawa onyangoLabda Simba wa Avic town
Kumekuchaaaa Makiwendo hatimaye siku imefika.... natabiri Yanga kushinda na nitakesha hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msamehe bure maana ni moja kati ya zile za akina Babu Taletale na Musukuma! Hata Maulid Kitenge naye ni daktari anaitwa Dr. Chumvi (PhD)!"Yanajurikana"
Hizi PhD hizi ni zakuwa nazo makini sana
BTW Tulipita kwenye mlango rasmi, ishu ya kulinda uwanja haikuhusisha ulinzi kwenye maswala ya kishirikina
Mtani!!!!!!Kumekuchaaaa Makiwendo hatimaye siku imefika.... natabiri Yanga kushinda na nitakesha hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]