FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Sijajua Mkude anashida gani but jamaa ni moja ya viungo bora wa Tanzania
 
Kama ni uchawi basi ni wa moto, kwamba Kanoute kila derby inamkuta mgonjwa, tena ugonjwa ambao ni tofauti na majeraha ya kimpira? Au huwa anakwepa hizi game?

Kwa uwepo wa Nyoni dimba la kati, sioni tukitoboa hii mechi. Hapa ni either kipigo au draw.
 
Leo kuna watu watajuta kumjua Baleke!! Hat trick ya King Kibaden Mputa leo inajirudia! Baleke hata kama haumpendi utalazimika kumfurahia!!
 
Tusubiri watu waanze kulaumu kikosi sio
 
Wacha nitie signature iwe ni kumbukumbu kwa vizazi!
 
Hapana kaka WACHEZAJI wengi hawapo, mfano Beno yeye amesha Saini singida big stars Hapo amekuja tu kuongeza idadi ya makipa, kanoute majeruhi tukubali tu Simba kikosi kidogo
mudi anauza hadi vijiko kabatini tulie mikono

babra nae tulimwamini tukamtuma gengeni matokeo yake ananunu makachakacha kina okwa hawa watu wanatuchukuliaje
 
Kama ni uchawi basi ni wa moto, kwamba Kanoute kila derby inamkuta mgonjwa, tena ugonjwa ambao ni tofauti na majeraha ya kimpira? Au huwa anakwepa hizi game?

Kwa uwepo wa Nyoni dimba la kati, sioni tukitoboa hii mechi. Hapa ni either kipigo au draw.
Yaan kwa nyoni hapoo hadi kimuhe muhe kimekataa, wallah hakuna maajabu tena hapaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…