Ahsanteni sana Dada ake Inonga
Nimekaaa hapa utanikuta ππTutarudisha tuuuuuπππ
Tulipojaribu kuzungumzia swala la hali ya hewa, sio wewe uliyesema wana Simba Sc tusilete vizingizio vya mvua?Hii mvua isije kuharibu Burudani.
HahahahaDah mtani Hali sio shwari
Haf Kuna mtu atasema huu mpira hauna Uchawi [emoji23][emoji23]
Wachezaji wa yanga kama viatu vina mawe *****
SahauWanayanga msiogope, Hawa tumewatanguliza na baiskeli ya mbao
Hii game bado mbichi
[emoji1787] Bado mpoo siaminii
[emoji1787] Tupo hapaaa shida mlitudharau sanaaaKwa mukapa hatoki mutu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sis π€£π€£π€£π€£π€Heeeh'...!
Muujiza..!!ππππ