Uto kwani unawaonaje usiwawekee dhamanaHaha! Kwamba vinaweza kujirudia
Aiiiii ππβ€οΈβ€οΈπππ
Mgonjwa has been taken good care of Lil Sis,
Huko aliko atakuwa anatabasamu kwanza mwanaSimba wangu..!!
Ya aseno hiyoNaona hapa livescore 2 - 2
Wanaweka sawa mitamboNo signal
Ya aseno hiyo
Hahahahaha ila Azam kumbe ni Yangaππππ
Nipo banda umiza wanasema wawekewe hata radio..!!
πππππHaf Kuna mtu atasema huu mpira hauna Uchawi [emoji23][emoji23]
Wachezaji wa yanga kama viatu vina mawe *****
Kwa hyo tumlaumu nani sasa ???Azam hawana kosa kaka...
Mawimbi ya TV kwa mtindo wa satelaiti huathiriwa na uwepo wa mawingu ya mvua...
π€£π€£π€£Mbn kama tupo banda moja[emoji2][emoji2]
Naomba muongozo, sina experience ya kuangalia online. Azam wamekata mitamboTumia Azam max mkuu. Kwani uko wapi?