Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Simba siyo demu hadi avutie. Simba ni Simba,ili mradi alione tobo anapachika mpira,hata kwa mkia.ufungaji wa simba bado havutii
Tupo tunalia tuu saa hii
Wasiwasi wa nini? Siku zite Simba Sc huwa inashinda pale tu inapokutana na team ndogo[emoji1].Hizi mechi zinaamuliwa zaidi nje ya uwanjani kuliko mauzauza unayoyaona uwanjani.
Hapo ndio muda wa kocha kuonesha ubora wake wa come back second half anaingiaje.
Tulieni hii ndio dakika ya 3
Ndio maana wanatembea kwa kuinama sasa hiviTumeuvunjia mwiko kwa ndani
Hata mayele anapiga mpira toka katikati ya uwanja kwenda kwa kipa zaidi ya mara Tatu [emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ina uwezo?
Leo tutajua kama Horoya ilikuwa ni team mbovu ama laah.
[emoji23][emoji23]
Tena haramu haswa , pole!uwiiii kwanza mpira haram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Tuko hapa....Watasawazisha mwambie sjmba wamefunga mwanzo yanga watafuatia.mpira dk 90
Ney miss youTupo tunalia tuu saa hii
Wainalilah......leo Mayele hawezi kuliona goli