FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Dah! Hali ni tete kwa wananchi! Tukipata hata sare tu ni jambo la kushukuru. Wachezaji wa Yanga wamekuwa ni wazito mpaka basi.

I wish Ibrahim Bacca na viungo wengine wakapewa tu nafasi.
Kikibwa sisi tunataka lile swala la kuwaita "team ndogo" kila team inayofungwa na Simba Sc liendelee hata baada ya hii mechi.

[emoji23]
 
Back
Top Bottom