Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nondo ni Maguire ndani ya bongo.
Nondo huwa zinafanya kazi zikiwekwa kwenye zege au dirishani...
Huku kwingine ni chuma chakavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nondo ni Maguire ndani ya bongo.
Anakalishwa TuKwa hali ya hewa hii....sijui
Ushafungua Id ingine?😔 akainamisha kichwa chini
Mda badoBan miezi 6 Moderator mtu wako huyu usimsahau
Nadhani kwasasa tumepata MEME kwaajili ya kuujibu vizuiri ule usumbufu wa ile faulo ya Aziz kwa Manula.Ile long range ya kibu denga km diarra angeigusa bc angeingia kweny siku muda ule ule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akasema Yanga Yanga😔 akainamisha kichwa chini
Niko hapa ingawa leo wanasuasuaWamesharudi...
nmechekaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inabidi tujikumbushe enzi zile za maumivuYanga kwa kunivunja moyo tu hawajambo[emoji22][emoji22][emoji22]
Yanga kwa kunivunja moyo tu hawajambo😢😢😢
Plus na mashabikWachezaji wa yanga walijiamini mno kupita kiasi
Tulia wewe mda badoUshafungua Id ingine?
Yanga majanga yaan wamepewa na maji wanashindwa kuogeleaMda bado
Una ujasiri hahahaaa