Mwiko umewachoma pembeni kudaadeki hawa uto...Tumewakosa latatu hawa vitoga
Mmhhh🤣🤣Bado naiamini Yanga
Haiishi mpaka iishe
Arsenal Yanga au sio ?Ndio dar young Africa [emoji3448]
Kuanzia saa ngapi? 😂😂 tulia dawa iwaingie. Inachomwa kwenye mshipa hii, ukitingishika tu unaumiauwiiii kwanza mpira haram😂😂😂💃💃💃💃
Comeback ya kufungua mwaka
Aibu Tupu Wataweka Wapi Sura ZaoWachambuzi wa mchongo wanajisikiaje?
Ulikuwa wapi jamaniiiUwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ni mchezaji wa timu ndogo, lilisikika levi moja lililovaa nguo ya njano.Huyu chama sio wa kawaida