princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Sio Kwa nabiHistoria inaenda kujirudia walaaaaaahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Kwa nabiHistoria inaenda kujirudia walaaaaaahi
Mimi mvua inanyesha...JAmani jamaniiiii jamaniiii ssinapa kushika nimevaaa dera najiona nimenenepa limenibanaaa si kwa raha hizi
Nilikua misa ndo narudi home kipenzi nakutana na hayUlikuwa wapi jamaniii
Hatari hii jamani leo mbona wananchi tumetepeta hivi kama mlenda vugu vugu
Aaaaaaah....Mtani.Acheni kunisumbua nyie makolo, niko kusaidia kutoa maji Makao Makuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2590050
Kuanzia saa ngapi? 😂😂 tulia dawa iwaingie. Inachomwa kwenye mshipa hii, ukitingishika tu unaumia
Hii hata kama sina Decoder naweza tumia? Kwa maana hainilazimu kwanza kuwa na mwenye usajiri wa Decoder?Tumia Azam max mkuu. Kwani uko wapi?
Nadhani Morrison anafaa zaidi ila hatabiriki ndio tatizo.Plan B ni kina mudathir, Kina Kibwana ila asimdakishe mettacha hakya Mungu hawajatofautiana sana na Manula
Pia Aziz Ki huwa ana kismet cha magoli hata akiingia dakika za lala salama