Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Yaaah , wanaume hatupendi Makelele ni kelele moja tu tunayo pendaIla nimekuja gundua wanaume huwa hampendi kelele za wanawake, (ukiacha zile nyingine)[emoji2960]
Kuna mama yupo nyuma yangu hapa ana makelele machine ikasome, wana wanageuka wanamtazama kwa mshangao kisha wanarudi zao mbele..!![emoji23]