Yaaah , wanaume hatupendi Makelele ni kelele moja tu tunayo pendaIla nimekuja gundua wanaume huwa hampendi kelele za wanawake, (ukiacha zile nyingine)[emoji2960]
Kuna mama yupo nyuma yangu hapa ana makelele machine ikasome, wana wanageuka wanamtazama kwa mshangao kisha wanarudi zao mbele..!![emoji23]
Nakazia....Simba tuwe makini kipindi hiki
Zimebaki dakika 39 lakini ?Hii mechi itaisha draw
Mnakuwa wageni wa mechi ya simba na yanga
Game itaishia draw tu
Ova
Why sasa au tulikua tuna wakasirisha tunavyojazana kama tupo kwny foleni ya kupata namba ya NIDA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaona uwanja bado wa moto na wako peku peku...Yanga mbn kama hawatak kuingia uwanjan
Usiwe na wasiwasi kabisaNakazia....
UmriErasto kaanza kuishiwa pumzi