FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Ila nimekuja gundua wanaume huwa hampendi kelele za wanawake, (ukiacha zile nyingine)[emoji2960]

Kuna mama yupo nyuma yangu hapa ana makelele machine ikasome, wana wanageuka wanamtazama kwa mshangao kisha wanarudi zao mbele..!![emoji23]
Yaaah , wanaume hatupendi Makelele ni kelele moja tu tunayo penda
 
Hizi dakk 15 za mwanzo yanga watatafuta goli kwa nguvu sana, na wakifanikiwa wataongeza la pili haraka
 
kuna mtu ana ka simu ka dogo alilalamika wachambuzi wanamzibia screen nzima akiwa anataka kutype kitu au kusoma jambo
Why sasa au tulikua tuna wakasirisha tunavyojazana kama tupo kwny foleni ya kupata namba ya NIDA
 
Muda wetu wanachiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tayari wamesanda hawa Simba wa kuchora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…