Mikono imelowa majiMbona uzi umesimama ghafla
Jmn faulo mbyDaah hii faulo jamani
Aziz Ki....anababatiza ukutaYanga wanapata faulo maeneo ya Aziz Ki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu tulia dawa ikuingieAcheni kunisumbua nyie makolo, niko kusaidia kutoa maji Makao Makuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2590050
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwehu..Na vyura wameshindwa kuogelea [emoji23]
Kambeki za bahasha? Hapa leo NO.Niwakumbushe tu sisi ndio king of comeback [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Heri kona kuliko faulo ya maeneo yaleKona hii Goli.....
Auntie nimechekaaaMimi mvua inanyesha...
Ila ninatoka jasho si kawaida.[emoji1787]
Leo ni leo...
Atajiua huyo D [emoji23]Tumia hii halftime kufungua Id nyingine Half american