Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #1,201
Tulikumiss kwakweli kipenziNilikua misa ndo narudi home kipenzi nakutana na hay
Auntie Pressure ni kubwa sana...Auntie nimechekaaa
Kaka yangu mpaka wewe umekubali [emoji23]Wallah tena! Wananchi leo tumepatikana. Hali tete.
Yaani asipoingia Ibrahim Bacca, na viungo wanyumbulifu pale kati; leo tutapigwa nyingi!
Rafiki yangu we kama umefunga basi itakuwa umefunga mkanda..!Refa maliza tukafturu na mvua hizii
[emoji23][emoji23][emoji23]HAJI MANARA AMEONEKANA AKICHEKA CHOOONI
tupoooYanga washapotea jukwaani eeh maana siwaoni tena...View attachment 2590135
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah leo Simba wanafuturu vyura.
Ni saikolojia ya mpira wa ushindani hasa kwa timu zinazolingana lingana hivi. Ukitangulia kwa mabao kama haya mawili, utaona uoga kwenda mbele na utaamua kuzuia. Meanwhile aliye nyuma kwa mabao kama haya mawili atajitoa sadaka yaani atafanya sacrifice, atashambulia kama vile hana cha kupoteza. Kuna faida na hasara zake, ila kitakachoamua ni utumiaji wa nafasi zinazopatikanaSimba wameanza kukosa utulivu
Nimefurahi kukuona kipenziMissing you too shunie