FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Yanga washapotea jukwaani eeh maana siwaoni tena...
052045C8-20F5-4D1E-90A1-213B8B7090FF.jpeg
 
Simba wameanza kukosa utulivu
Ni saikolojia ya mpira wa ushindani hasa kwa timu zinazolingana lingana hivi. Ukitangulia kwa mabao kama haya mawili, utaona uoga kwenda mbele na utaamua kuzuia. Meanwhile aliye nyuma kwa mabao kama haya mawili atajitoa sadaka yaani atafanya sacrifice, atashambulia kama vile hana cha kupoteza. Kuna faida na hasara zake, ila kitakachoamua ni utumiaji wa nafasi zinazopatikana
 
Back
Top Bottom