Mtu_ bakize
Senior Member
- Jul 8, 2018
- 157
- 214
Hiki kikosi n kile Cha horoya kasoro Manula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hadi nashangaa, bora mkude.Kiungo cha Nyoni na Mzamiru[emoji848][emoji848]
Kiungo cha Nyoni na Mzamiru[emoji848][emoji848]
Kwamba akisaini Singida ndio inamzuia kucheza Simba? Kwani si mpaka ligi iishe ndio anaondoka?Hapana kaka WACHEZAJI wengi hawapo, mfano Beno yeye amesha Saini singida big stars Hapo amekuja tu kuongeza idadi ya makipa, kanoute majeruhi tukubali tu Simba kikosi kidogo
Sasa kiongozi unadhani kwanini ameanza ally salimu na sio yeye Beno? Beno ana week hayupo mazoezini Sasa.Kwamba akisaini Singida ndio inamzuia kucheza Simba? Kwani si mpaka ligi iishe ndio anaondoka?
Wee usitudanganye hapaa, hii game bila kanoute hakuna maajabu, na bora mkude sio nyoni aaaaah.Hizi game ni za kina mkude na Nyoni.
Utaona leo wana perfom kuliko
Hapo bolded ndio inaweza kuwa sababu. Kama hayupo mazoezini wiki, maana yake hana fitness ya kutosha. Ila kusema mkataba na Singida ndio chanzo, hapo sio sahihiSasa kiongozi unadhani kwanini ameanza ally salimu na sio yeye Beno? Beno ana week hayupo mazoezini Sasa.
Yanga 7-1simba[emoji23][emoji23][emoji23]Wee usitudanganye hapaa, hii game bila kanoute hakuna maajabu, na bora mkude sio nyoni aaaaah.
Yaan hadi nimechokaaaaa
Naitunza risitiHizi game ni za kina mkude na Nyoni.
Utaona leo wana perfom kuliko
OkHapo bolded ndio inaweza kuwa sababu. Kama hayupo mazoezini wiki, maana yake hana fitness ya kutosha. Ila kusema mkataba na Singida ndio chanzo, hapo sio sahihi
Tutawapiga na Mpira mwingi juu. Anzeni mapema kujiteteaKiungo cha Nyoni na Mzamiru[emoji848][emoji848]