Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Nijichange ninunue dstv sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👅👅👅👅Faulo kuelekea lango la Simba inapigwa.
Arteta amependeza 😍tumebaki hapa tunawatazama senali, ila wenzetu wana mpira bhaana tchaaah'..!!🙌
Toa dondoo wamerudWasee Niko live hapa maana azam wanazingua sana
Dstv na ligi kuuNijichange ninunue dstv sasa
Arsenal wajinga baada watafute ushindi wanaleta mbwembwe hadi magoli yote yamerudi na kuna boya wamempa apige penalty katoa njetumebaki hapa tunawatazama senali, ila wenzetu wana mpira bhaana tchaaah'..!!🙌
Bongo changamoto sana aiseeBongo hakuna kitu chenye uhakika hata ukifa wanaweza kukufua kujibu mashtaka
Bongo hakuna raha
Azam ni nini hichi
NakaziaUwekezaji mbovu tu
Huu ujinga hautaisha hivi karibuni, uto watasawazisha na kuongeza.Halafu ujinga wa simba kusawazishiwa na kuongezwa ufe leo
Me ni shabiki wa Mbeya City mdogo wangu mzuri..!😂😂[emoji19][emoji19][emoji19]
Na wewe uko Simba eee