Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana Utulivu Mkubwa sana sana...Huyu golikipa Ally salim tayari keshamnyang'anya namba Manula,kikubwa ajikinge na misumari.
Hahahahaua nitacheka wiki nzimaaa
Nataka niisikie ile kauli yao:-Utopolo Leo mtasema yoteeee ila mmefungwaaa[emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji8] Simba rahaaa bestMwasimba mremboooo[emoji177][emoji177][emoji177][emoji8]
Kama sefuli [emoji23][emoji1544][emoji1550]Simba hii Ni tamu kuliko tendo la ndoa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nani alikuambia hawakuwa na furaha? Mechi nyingi za Simba na Yanga katika ligi zimeisha kwa sare. Sijajua mara ya mwisho walifungana liniSimba nao wanastahili furaha, huyu Mungu ni wetu zote.