Kipindi geita wanafunga bao la pili refa alikuwa mbali lakini katika harakati za kugombea ule mpira mchezaji wa simba alianguka kabla ya mpira kuingia wavuni, ilikua physical contacts mixer na distance so mwamuzi akatafsiri kama nilivyopenda iweMkuu kama hautojali naomba tupashe kilichotokea refa kafanyaje? Maana kila mmoja humu hata akiwa mwana msimbazi analalamika kuwa Geita wameonewa lakini hawasemi nini kilichotokea. Kipindi cha pili nilifuatilia updates za humu jukwaani kwavile nilipata dharura sikuweza kuendelea kuangalia mechi kipindi cha pili.
Kama Simba na Yanga zisingebebwa maana yake mpaka raund hii Simba angekuwa amepoteza point 6 na Yanga angekuwa amepoteza point 3 tu.Basi tufanye hilo moja wamebebwa Simba tusilihesabu lakini si bado walikuwa wanaongoza 2? Tofauti na utopwenga wasingebebwa kule Lindi dhidi ya Namungo tungekuwa tunaongea nini leo?
Ni kwamba Geita Gold wamefunga, goli likakataliwaMkuu kama hautojali naomba tupashe kilichotokea refa kafanyaje? Maana kila mmoja humu hata akiwa mwana msimbazi analalamika kuwa Geita wameonewa lakini hawasemi nini kilichotokea. Kipindi cha pili nilifuatilia updates za humu jukwaani kwavile nilipata dharura sikuweza kuendelea kuangalia mechi kipindi cha pili.
Sawa ila nimfurahiSaizi tufokasi kushangilia point tatu
Hii mechi ni kama SI unit ya kupima uzalendo wa wanayanga uko wapi. Kipimdi nyinyi mnabebwa ili msawazishe baada ya kufungwa hakuna aliyeweza kupinga maamuzi ya refa kwa wakati ule kwasababu timu yake ilikua katika point ngumu ya kupoteza mchezoSijakataa ila kwa mustakabali mzuri wa afya yangu, acha iwe hivyo tu
Tunabebwa wote wewe wacha kuropokaMakolo yanabebwa hadi aibu
Hili kolo naona akili zinaanza kurudi,makolo wenzako bado wanaminyanaMwamuzi acha mbeleko,Wape chao Geita
Namungo walifunga likakataliwa we kolo?Tunabebwa wote wewe wacha kuropoka
Namungo ilikuwaje
Kwa hisani ya refaKama ilivyo ada, pira madrid
Leo anaenda kufa mtu nne kwa nunge
Ni makosa ya kibinadamu tumsameheMwamuzi acha mbeleko,Wape chao Geita
Wewe ni shabiki mbovu miongoni mwa mashabiki wa Simba.Saizi tufokasi kushangilia point tatu
Utopologist weeeKama Simba na Yanga zisingebebwa maana yake mpaka raund hii Simba angekuwa amepoteza point 6 na Yanga angekuwa amepoteza point 3 tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kolo ww bado hazijarudNi makosa ya kibinadamu tumsamehe
Mnazi wa makolo Leo ,mbebwa live bila chenga , ww msimu huu utapata presha wallah hahahaha maana c kwa unazi huuKipindi geita wanafunga bao la pili refa alikuwa mbali lakini katika harakati za kugombea ule mpira mchezaji wa simba alianguka kabla ya mpira kuingia wavuni, ilikua physical contacts mixer na distance so mwamuzi akatafsiri kama nilivyopenda iwe
Naona una halalisha mbeleko yako dhidi ya namungo kwa kutumia faulo ili ionekane halaliHii ni aibu kwa soka letu. Kwa issue ya yanga na Namungo unaweza singiziaa kua Feisal alichezewa faulo na ukaning'inia hapo. Hii ya kapombe watu wataning'inia wapi?
Mpira wa tz ni aibu sana. Aibu kubwa sana.