Geita sio wabaya sana!Leo Mnyama akitoboa basi Pablo ni kocha
Yani Suala La Kushinda Mechi Ya Tarehe 11 Sahau Kabisa Labda Mpate Sare Maana Mayele Atafumua Tena Pale Pale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vimbeni vimbeni vyura
Simba Ipi ya kutufunga sisi?? Yaani Kibu Denis na Babu Kagere ndio watufunge sisi??? Hawana akili Hawa. Wamfunge Geita ila kwetu imekula kwaoSisi Tunachukua Huu Ubingwa Na Hatutafungwa Na Simba Kama Unabisha Subiri Uone
Acha kujichekesha bwana mdogoMayele Atafumua Tena Pale Pale Tarehe 11 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo mmeshaandaa vilainishi vya kupumuliwa kisogoni?Tunaendelea kumpumulia uto kisogoni halafu tarehe 11 tjnachukua points zetu 3 muhimu tunaanza safari ya ubingwa rasmi.
Safi sana. Hao leo tunao.Bandaaaaaaaaaa 1
Mhhhh mlijiaminishaga hivyi hivyo na mzee wenu mpil ila mlipoteana. Yani huyo mayele atasambaratishwa hutaamini. Endeleeni kujiaminisha tuje tuwape supriseYani Suala La Kushinda Mechi Ya Tarehe 11 Sahau Kabisa Labda Mpate Sare Maana Mayele Atafumua Tena Pale Pale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajue tu badae Morrison ataingia awachangamshe kidogoSafi sana. Hao leo tunao.
Ina nini kipya kwani ni lini yanga amekosa kuongoza ligi kwenye misimu yote minne lakini ubingwa anachukua mnyama mkali kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unaotaa?, Nyie Muifunge Yanga Hii??
Wana Yanga nimeshawambia tuachane na huu uzi. Geita hawawezi kupata hata sare kwa simba . Zaidi watakufa kifo cha mbwakoko tuWanayanga wenzangu, tusipoteze muda. Hii game Simba anashindwa kuanzia goli2..... Geita hakuna timu pale. Ni kikundi cha wahuni tu! Hata sare hawapati