Sasa hivi akajifunze kwa Opah wa Simba queensMwanzo aliambiwa ajifunze kwa kibu, tukaenda weee wakamwambia uki mix na maufundi ya kagere utabamba
Saizi tena sakho kawa gumzo
Mayele hapa ndio anapopagawa, na anazidi kuchanganyikiwa hajui ajifunze kwa nani
[emoji114][emoji114]Ah tena basi ungejua mwenzio mpira ndio burudani yangu namba mbili hapa duniani...ofcoz number one ni obvious[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani ukitaka kujua formation strategy tactics wala usiende mbali utapata lexicon zote za mpira hapa kuanzia gegen pressing ya man utd mpaka total football ya timu ya uholanzi ya mwaka 1974 and 1978.
Toka the wm formation ya kocha wa arsenal mwaka 1939 mpaka 4-6-0 ya pep ambayo ilimfanya kibabu fergson ateteme kwenye bench. Need i say more?
Kwanza Manara mmemuona wapi? Return of the champions imeishia miguuni kwa azam kiutaniHivi Hawa namungo si ndio walimshika pumbu mwananchi huko Lindi ??. Sasa ubora wa yanga upo wapi ?? [emoji23][emoji23]
We kuna yule demu anaitwa Asha jafary, ana matatizo yule dadaSasa hivi akajifunze kwa Opah wa Simba queens
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tukanaaa tu mkuu kwa pila hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza Manara mmemuona wapi? Returns of the champions imeishia miguuni kwa azam kiutani
wamo humu wanasoma tu na kuumia kimya kimyaKumbe walikua wanateseka kimya kimya [emoji23][emoji23]
Kocha anajali zaidi rotation kuliko ubora.Hapa kocha ndio anapo mbwera, yani sakho atoke aingie dilunga kweli?
rotation hata kwenye pishi la mlenda ipoKocha anajali zaidi rotation kuliko ubora.
Kocha Katumia Akili Kubwa hapo.....Kijana kamaliza kazi hivyo anampumzisha for next match wasijemuumiza Bure.Hapa kocha ndio anapo mbwera, yani sakho atoke aingie dilunga kweli?