FT: Simba 2 Namungo 0. Simba yatinga fainali ya Mapinduzi Cup 2022

FT: Simba 2 Namungo 0. Simba yatinga fainali ya Mapinduzi Cup 2022

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Saa 2:15 usiku Simba SC, kukipiga na Namungo FC. Je, ni timu gani kufuzu kwa hatua ya fainali? Kuungana na Azam Fc?

Ni kufa au Kupona mmoja Lazima aende kupambana na Azam FC.

Je, tutashuhudia Mikwaju ya Penalt Tena?

Tuwe pamoja
 
Mbona Uzi mapema hivi wakati yanga wanaanza saa kumi
 
IMG_3513.jpg
 
Back
Top Bottom