Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Usimtukane Sakho huyu ndo mtoto wa kitaifa wa mama wa hii nchi,anaitwa Sakho Samia Suluhu Hassan.
Kumbe walikua wanateseka kimya kimya [emoji23][emoji23]Oyaah njooni huku, kuna topolo moja uvumilivu umelishida bwana[emoji23][emoji23][emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo ukweli mkuu wala hutanii, mipira ya kiafrika imejaa figisu sana usipokuwa vizuri unapotea.basi Morrison atamuonea wivu Sakho.
natania
Hatuvui mashati.Halafu sisi simba hata hatushangilii maana ni vitu vya kawaida sana kwetu
Beki anashindwa kuclear mpira upo mbele yake kabisa.....anazinguaOyaah njooni huku, kuna topolo moja uvumilivu umelishida bwana[emoji23][emoji23][emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukanaaa tu mkuu kwa pila hilijamani kwani Nina ruhusiwa kutukana kidogo tu kwa ajili ya Sakho huyu jamaa huyu *************
Toa Kibu ingiza UDOHhuyu Kibu apumzike kidogo kocha au wewe unasemaje anapoteza move nzur kabsa dah
sio kwa mapenzi yake kapigwa chenga moja ya mwili pale hatomsahau huyo dogoHuyu beki wa namungo vipi tena...beki wa kati unatakiwa kuwa katili anapitaje vile mshambuliaji
We mzee na mpira wapi na wapiBeki anashindwa kuclear mpira upo mbele yake kabisa.....anazingua
Roho inauma kwakua zile kelele za AUCHO AUCHO zinaanza kupoteza , sasahivi ni Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho Sakho SakhoBeki anashindwa kuclear mpira upo mbele yake kabisa.....anazingua
Rahaaaa nyieeeeDk 48,Simba 2-0 Namungo.mfungaji wa goli la pili P.O .Sako
Wazungu wakiacha ubaguzi, mwakani lazima jamaa achukue ballon d'orHuyu Sakho mwakani atakuwa la liga