The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Utanikumbusha vizuri tarehe 8Unaikumbuka kauli ya Gamondi kuwa Simba ikija kistaarabu itafungwa mchache tu, ila ikijifanya mjuaji kutaka kulipa kisasi itapokea kipigo cha mbwa koko. kwa maneno yako haya utakuwa unawachongea kutengenezewa kipigo
Ndio nafahamu kuwa ni Yanga na hata mimi ni Yanga pia na hata watoto wetu watakuwa Yanga. Hata kufua jezi atakuwa hahangaika kuloweka kwenye maji maana kama angechanganya jezi za simba na Yanga, zile za simba zingeanza kuchuja na kutoa rangi na kuchafua zile za yanga.Ephen Yanga. Akikupa jibu nitag
Hebu toka hapa,umefuata Nini basii kumsifia SamiaNdio nafahamu kuwa ni Yanga na hata mimi ni Yanga pia na hata watoto wetu watakuwa Yanga. Hata kufua jezi atakuwa hahangaika kuloweka kwenye maji maana kama angechanganya jezi za simba na Yanga, zile za simba zingeanza kuchuja na kutoa rangi na kuchafua zile za yanga.
Hongereni sana mko vizuriNdio nafahamu kuwa ni Yanga na hata mimi ni Yanga pia na hata watoto wetu watakuwa Yanga. Hata kufua jezi atakuwa hahangaika kuloweka kwenye maji maana kama angechanganya jezi za simba na Yanga, zile za simba zingeanza kuchuja na kutoa rangi na kuchafua zile za yanga.
Aje kufanya Nini Hawa waeneza propaganda na timu Yao hiiYule dogo wa Coastal Union aliyetambulishwa na Simba mbona sijamuona?
Nimemfuata ephenHebu toka hapa,umefuata Nini basii kumsifia Samia
Hawa watu wana ujasiri sana wanawezaje kumtambulisha mchezaji ambaye sio wa kwao?Aje kufanya Nini Hawa waeneza propaganda na timu Yao hii
Chunguza chunguza sanaDah!! Sasa Ali K alishindwa kusafisha kwapa🤔
Wanaume mna mambo ya ajabu
Hajakariri wote! Kuna ujanja tu anafanya ambao hatuwezi kuujua wangekua wanamuonyesha anavyotangaza ningeweza kujua anachungulia wapiHata mimi nilikuwa na swali kama lako. Ngoja nimuulize ephen wanguu