FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

Unaikumbuka kauli ya Gamondi kuwa Simba ikija kistaarabu itafungwa mchache tu, ila ikijifanya mjuaji kutaka kulipa kisasi itapokea kipigo cha mbwa koko. kwa maneno yako haya utakuwa unawachongea kutengenezewa kipigo
Utanikumbusha vizuri tarehe 8
 
Ndio nafahamu kuwa ni Yanga na hata mimi ni Yanga pia na hata watoto wetu watakuwa Yanga. Hata kufua jezi atakuwa hahangaika kuloweka kwenye maji maana kama angechanganya jezi za simba na Yanga, zile za simba zingeanza kuchuja na kutoa rangi na kuchafua zile za yanga.
Hebu toka hapa,umefuata Nini basii kumsifia Samia
 
Ndio nafahamu kuwa ni Yanga na hata mimi ni Yanga pia na hata watoto wetu watakuwa Yanga. Hata kufua jezi atakuwa hahangaika kuloweka kwenye maji maana kama angechanganya jezi za simba na Yanga, zile za simba zingeanza kuchuja na kutoa rangi na kuchafua zile za yanga.
Hongereni sana mko vizuri
 
Back
Top Bottom